[go: up one dir, main page]

Nenda kwa yaliyomo

Bara la Antaktiki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 13:35, 22 Aprili 2015 na Dexbot (majadiliano | michango) (Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured)
Antaktiki
Antaktiki
Kituo cha Kisayansi katika Antaktiki

Antaktiki ni bara kwenye ncha ya kusini ya dunia. Kwa sababu ya baridi kali katika bara hii, ni bara ya pekee ambapo hawaishi binadamu wowote isipokuwa kuna wanasayansi wanaokaa kwa muda katika vituo vyao. Jina "Antaktiki" latokana na lugha ya Kigiriki likimaanisha "kinyume cha Aktiki" na Aktiki ni eneo karibu na ncha ya kaskazini.

Takriban 98% za eneo la bara lafunikwa na theluji na barafu. Bara liko kati ya bahari za Pasifiki, Atlantiki na Bahari Hindi. Eneo lake ni kubwa kushinda Ulaya lakini hakuna mti hata mmoja. Bara hili linajulikana kama jangwa

Kuna volkeno hai moja inayotema moto barani ni mlima wa Mount Erebus.


Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.