[go: up one dir, main page]

Nenda kwa yaliyomo

Sista

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 20:29, 16 Novemba 2012 na Synthebot (majadiliano | michango) (r2.7.3) (Roboti: Imeondoa: ja:尼)
Masista katika maandamano wakivaa kanzu.

Sista (kutoka Kiingereza sister, yaani dada) ni neno la mkopo linalotumika katika lugha ya Kiswahili hasa kumaanisha mtawa wa kike, yaani mwanamke aliyewekwa wakfu alipoahidi kushika mashauri ya Kiinjili ya useja mtakatifu, ufukara na utiifu.